Je, Manabii Walivuka Mpaka huu?
“Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana” (Mathayo 11:13)
“Torati na manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu” (Luka 16:16)
“Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika Manabii na Zaburi” (Luka 24:44)
Tupe Maoni yako…!
Leave a Reply