Home Fundisho Letu

Fundisho Letu

Kipi Kinatufanya Tuwe Wakristo?
Kipi Kinatufanya Tuwe Wakristo:

Sisi Tunaamini…

– Mungu Mmoja, Nafsi Tatu:

Mungu ni Mmoja, yupo katika nafsi tatu. Nafsi hizo tatu zipo katika umoja, kila nafsi moja ikiwa na sifa za Mungu.

– Uungu wa Yesu Kristo aliyezaliwa na Bikira akiwa mtu kamilifu, na Mungu kamilifu aliyejidhihirisha katika mwili.

– Upatanisho wa mbadala wa Kristo kwa ajili ya wokovu wetu, kwa neema pekee, kwa njia ya imani pekee, katika Kristo pekee.

– Ufufuo halisi wa Kristo ili kutoa wokovu na uzima wa milele kwa wote wanaoamini.

– Kurudi kwa Kristo kimwili ili kutawala mbinguni na duniani

Kinachotufanya tuwe wa kipekee miongoni mwa Wakristo:

Sisi Tunaamini…

Tunaamini uwakili wa Paulo kwa Kanisa Mwili wa Kristo

Yesu Kristo alimpa Mtume Paulo injili mpya, na tofauti – ufunuo wa ile siri – ambayo ina maelekezo kamili kwa Kanisa katika majira haya.

Katika kipindi hiki cha neema ya Mungu, sisi hatupo chini ya sheria

Uhusiano wa kifamilia ni mtazamo wa Mungu na Kanisa

Sisi sote tuna jukumu la kufanya maamuzi yetu mbele ya Mungu. Hakuna ukuhani leo. Kristo ndiye mpatanishi pekee.

Nguvu za Mungu hufanya kazi kupitia mafundisho yenye uzima ili kuleta mabadiliko chanya katika ulimwengu

Mabalozi wa Mungu huishi katika ulimwengu lakini hawapaswi kuishi kama ulimwengu

 

Wokovu:

Sisi Tunaamini…

Tunaokolewa kutoka kwenye dhambi na kifo tunapoamini katika kazi iliyo kamilika ya Yesu Kristo juu ya msalaba na ufufuo wake wa kimwili. Damu yake isiyo na dhambi hulipa deni la dhambi zetu, hutupa msamaha, na kutupatia uzima wa milele.

Kwa hiyo, wokovu sio zao la:

– Maombi

– Ubatizo

– Kutubu Dhambi

– Kazi Njema

– Kuacha Dhambi

– Sheria/Maagizo

– Uwanachama katika Kanisa

– Ibada au Meza ya Bwana

Bali, Wokovu hupatikana bure, kwa waovu wote ambao wataweka imani yao katika kifo, damu, kuzikwa, na kufufuka wa Yesu Kristo kwa ajili ya dhambi zao (Warumi 4:5; Warumi 4:24-25; 1 Wakorinto 15:1-4).


TUKIO LINALOFUATA

    There are no upcoming events at this time.


+
Twitter Followers
+
Facebook Likes
$
Total Donation
+
People Helped

RATIBA YA IBADA
Ibada ya Jumapili
Saa 3 asubuhi – Saa 8 Mchana

  • Sunday School
  • Kuimba na Kuabudu
  • Ibada
Ibada ya Jumanne
Saa 10:30 – Saa 12 Jioni

  • Mafundisho ya Biblia
Jumatano
Saa 10:30 – Saa 12 Jioni

  • Maombi ya watu wote kwa ajili ya kukulia wokovu
Alhamisi Saa
4 asubuhi – Saa 8 Mchana

  • Ushauri na Maombezi ya mtu mmoja mmoja 
  • Mazoezi ya sifa na kuabudu
Ijumaa: Saa
3 usiku – Saa 12 Asubuh

  • Mkesha
SHUHUDA

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Sanga Seta
Manager

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Lisa White
Choreographer

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Jaquline Emmanuel
Fashion Designer
VIDEO MPYA

VIONGOZI WA KANISA
Festus PattaAskofu
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Linda MsakyMchungaji Kiongozi
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Silivester GabrielMchungaji wa vijana
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Beatrice FlorenceMchungaji Msaidizi
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.

Comments are disabled.