Home Utoaji

Utoaji

Utoaji Katika Majira ya Neema
Utoaji Katika Majira ya Neema

“…wala sitawalemea. Maana sivitafuti vitu vyenu, bali nawatafuta ninyi;… Nami kwa furaha nyingi nitatapanya, tena nitatapanya kwa ajili ya roho zenu…” – 2 Wakorinto 12:14-15

Tunafuata kielelezo cha neema kwa Paulo katika kupokea zawadi kwa huduma yetu. Paulo kamwe hakuomba pesa kwa ajili ya matumizi yake mwenyewe, ili kwamba Injili ya Kristo isije ikazuilika (1 Wakorinto 9:12). Wala sisi nasi, hatufanyi HIVYO!

Alitaka utoaji wa sadaka uwe ni tunda la neema itendayo kazi ndani ya mtoaji:

“Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu” – 2 Wakorinto 9:7

“Si kwamba nakitamani kile kipawa, bali nayatamani mazao yanayozidi kuwa mengi, katika hesabu yenu” – Wafilipi 4:17.

Ukurusa huu, umetengenezwa kutokana na maswali ya wengi wanaotaka kujua namna ya utoaji sahihi lakini pia kuacha kutoa kwa sababu ‘mbaya’.

Tunaomba uelewa kwamba, sisi hatuna ‘hamu’ ya fedha yako, bali wokovu wako na huduma kwa Bwana kwa moyo wa haki, tukizungumza ujumbe sahihi, kutoka kwenye Biblia sahihi, huku tukiigawa kweli ya Mungu sawasawa (Matendo 20:33-35).

Kama umeponzwa na mafundisho ya sheria ambayo yanakupa ahadi ya baraka kwa sababu ya kutoa zaka yako kwenye Kanisa lako, tafadhali tunakuomba uacha mara moja, kwani kwa kufanya hivyo, unaidharua kazi timilifu ya Msalaba wa Kristo!

Kama unakusudia katika moyo wako, kutoa kwa uhuru kwa huduma yetu ya neema kwa wengine, tafadhali endelea hivyo katika roho ya 2 Wakorinto 9:7. Asante kwa ukarimu na usaidizi wako.

Matumizi ya Sadaka na Michango

Sadaka, zawadi na michango mbalimbali inayotolewa hapa hutumiwa kulipia gharama za kueneza Injili ya Neema ya Kristo katika maeneo mbalimbali kama vile vipindi vya Radio, Magazeti, TV, Tovuti hii, kusaidia Wajane, Yatima na maeneo mengine mengi kwa Utukufu wa Jina la Kristo Yesu.

 

Akaunti Namba:      0150408542400

Jina la Akaunti:       The Grace Walk Ministry

Jina la Benki:           CRDB Bank PLC Ltd


TUKIO LINALOFUATA

    There are no upcoming events at this time.


+
Twitter Followers
+
Facebook Likes
$
Total Donation
+
People Helped

RATIBA YA IBADA
Ibada ya Jumapili
Saa 3 asubuhi – Saa 8 Mchana

  • Sunday School
  • Kuimba na Kuabudu
  • Ibada
Ibada ya Jumanne
Saa 10:30 – Saa 12 Jioni

  • Mafundisho ya Biblia
Jumatano
Saa 10:30 – Saa 12 Jioni

  • Maombi ya watu wote kwa ajili ya kukulia wokovu
Alhamisi Saa
4 asubuhi – Saa 8 Mchana

  • Ushauri na Maombezi ya mtu mmoja mmoja 
  • Mazoezi ya sifa na kuabudu
Ijumaa: Saa
3 usiku – Saa 12 Asubuh

  • Mkesha
SHUHUDA

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Sanga Seta
Manager

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Lisa White
Choreographer

Nimetafuta kazi kwa miaka Mingi, nashukuru baada ya mchungaji kuniombea nipepata kazi-Amin.

Jaquline Emmanuel
Fashion Designer
VIDEO MPYA

VIONGOZI WA KANISA
Festus PattaAskofu
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Linda MsakyMchungaji Kiongozi
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Silivester GabrielMchungaji wa vijana
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.
Beatrice FlorenceMchungaji Msaidizi
Hutuongoza katika ibada na kweli kumfuata Yesu wetu.

Comments are disabled.