Kuwaangazia watu wote wajue habari za madaraka ya ile SIRI, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote
Read moreKuwaangazia watu wote wajue habari za madaraka ya ile SIRI, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote
Read moreWagonjwa wenye magonjwa mbali mbali hutembelewa, kufarijiwa na kuombeawa.
Wajane walofiwa na waume zao hutembelewa, kufarijiwa na kutiwa moyo
Ibada hii hufanyika kila Jumapili, kuanzia saa 3 Asubuhi mpaka saa 7 Mchana. Katika ya wiki, tunakuwa na vipindi mbalimbali vya mafundisho na maombia kuanzia saa 10:30 mpaka saa 12 Jioni. NYOTE MNAKARIBISHWA SANA!
Jinsi hukumu za Mungu zilivyo za haki! Katika Warumi 2:16 Mtakatifu Paulo anasema: “Katika siku ile Mungu
Wakati wa miaka yao sabini ya utumwa huko Babeli, wana wa Israeli hawakujisikia kuwa ni vyema kuimba:
Kufufuka kwa Kristo Yesu ni jibu la Mungu kwa wasioamini na kutokuamini kwao. Mitazamo iliyobadilika ya