Kuwaangazia watu wote wajue habari za madaraka ya ile SIRI, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote
Read moreKuwaangazia watu wote wajue habari za madaraka ya ile SIRI, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote
Read moreWagonjwa wenye magonjwa mbali mbali hutembelewa, kufarijiwa na kuombeawa.
Wajane walofiwa na waume zao hutembelewa, kufarijiwa na kutiwa moyo
Ibada hii hufanyika kila Jumapili, kuanzia saa 3 Asubuhi mpaka saa 7 Mchana. Katika ya wiki, tunakuwa na vipindi mbalimbali vya mafundisho na maombia kuanzia saa 10:30 mpaka saa 12 Jioni. NYOTE MNAKARIBISHWA SANA!
“Kwa tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyeweza kusema uongo, aliuahidi kabla ya ulimwengu [au,
Kwa Paulo ulikabidhiwa ufunuo mkuu zaidi wa wakati wote. Aliagizwa kimungu kutangaza utoshelevu mtukufu wa
“Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo” (1