Yasiyosemwa Juu ya Zaka
Mpendwa katika Kristo,
Najua ni mara kadhaa umesikia mafundisho juu ya utoaji wa zaka. Lakini, najua kwa hakika hujaambiwa vya kutosha kuhusu zaka. Katika jambo ambalo Mungu hakumpa uhuru Musa afanye atakavyo, ni pamoja na utoaji, upokeaje na utumiaji wa ZAKA! Yapo mengi yasiyosemwa na walimu wa zaka, wale wanaojiita Walawi wa kisasa, moja ya hayo ni maagizo ya Mungu kwa Musa katika Kitabu cha HESABU Sura ile ya 18.
Hapa chini, nimekuwekea mstari wa 20-28, kwa ajiri ya rejea ya hayo ninayosema, ambayo wala zaka wa kisasa, KAMWE hawawezi kukuambia! Acha Biblia ijitetee yenyewe, kwa UTUKUFU WA JINA LA KRISTO YESU!
Leave a Reply